Inawezekana ikawa ndiyo singo ya kwanza kushirikishwa mkali Ruby msichana ambaye kipaji chake kilionekana kwenye mashindano ya Serengeti Super Nyota Diva mwaka 2014 na baada kusikika na singo yake mwenyewe inayoitwa Na Yule.
Hii imetokea nchini Congo baada ya mmoja kati ya waandaaji wa Matamasha (Promota) kumhitaji Mzee Majutolakini kwabahati mbaya Mwenyewe hakufanikiwa kufika sehemu alizoandaliwa show hizo ambazo zilikua Congo na Burundi.