Inawezekana ikawa ndiyo singo ya kwanza kushirikishwa mkali
Ruby msichana ambaye kipaji chake kilionekana kwenye mashindano ya
Serengeti Super Nyota Diva mwaka
2014 na baada kusikika na singo yake mwenyewe inayoitwa
Na Yule.
Singo hii ilikuwa itoke wiki kadhaa zilizopita lakini kutoka na wizi ambao ulifanyika nyumbani kwao
Abdul Kiba ulisababisha project hii isimame na kwa sasa ipo tayari na itakuwa redioni kwako kuanzia wiki ijayo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni